Papa Fransisco Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Ajali ya MV Nyerere

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani baba mtakatifu Papa Fransisco ametuma salamu za Rambirambi kufuatia ajali ya kivuko cha MV Nyerere.
Katika salamu zake kupitia kwa Balozi wake nchini baba mtakatafu amewapata pole wote walioko katika majonzi na kuwapa moyo wote wanaotafuta ndugu ambao hawajaonekana
Amemuomba Mungu awajalie baraka, nguvu na faraja wote walioguswa na msiba huo
Katika salamu zake kupitia kwa Balozi wake nchini baba mtakatafu amewapata pole wote walioko katika majonzi na kuwapa moyo wote wanaotafuta ndugu ambao hawajaonekana
Amemuomba Mungu awajalie baraka, nguvu na faraja wote walioguswa na msiba huo


Comments
Post a Comment